RAIS KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE ZA TAIFA JIPYA LA SUDANI KUSINI, AFUATANA NA MAMA SALMA KIKWETE NA ZITTO KABWE - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

RAIS KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE ZA TAIFA JIPYA LA SUDANI KUSINI, AFUATANA NA MAMA SALMA KIKWETE NA ZITTO KABWE

GO9G8934
Mke wa Rais, Mama Kikwete, akipokea shada la baada ya kuwasili na baada ya kuwasili mjini Juba na rais jakaya Kikwete katika sherehe za taifa jipya la nchi ya Sudan Kusini jana jioni.
GO9G8992
Rais Jakta Kiwkete na Mama Salma Kikwete wakiwa na mweneyeji wao, Rais wa kwanza wa Sudan Kusini, Jenerali Salva Kiir Mayardit walipowasili mjini Juba kwenye sherehe za kuzaliwa kwa taifa la nchi hiyo.
GO9G9032
Rais Kikwete akizungumza na Rais wa taifa jipya la Sudan Kusini Jenerali Salva Kiir Mayardit . Katikati ni Mama Salma Kikwete



GO9G9098
Rais Kikwete akimpongeza Rais huyo mpya wa Sudan Kusini. Katikati ni Mama Kikwete
GO9G9056
Mbunge za Zitto Kabwe aliyefuatana na Rais Kikwete kwenye sherehe hiyo, akimpongeza Salva Kiir Mayardit wa taifa hilo jipya la Sudan Kusini
(Picha zote na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages