Naibu Mhariri wa Kampuni ya New Habari(2006) Ltd, Danny Mwakiteleko Bado Yupo ICU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Naibu Mhariri wa Kampuni ya New Habari(2006) Ltd, Danny Mwakiteleko Bado Yupo ICU


Gari ya Dany Mwakiteleko iliyopata ajali.
Mhariri wa Gazeti la Rai,ambaye pia ni Naibu Mhariri wa Kampuni ya New Habari(2006) Ltd,Danny Mwakiteleko(Pichani)akiwa amelazwa katika wodi ya wagonjwa mahututi ICU cha hispotali ya Taifa ya Muhimbili jana baada ya kuapata ajali juzi usiku wakati akirudi nyumbani kwake maeneo ya Tabata Jijini Dar es Salaam na kusababisha majeraha na maumivu katika sehemu ya kichwani.Picha zote na Mdau Victor Makinda

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages