MAANDALIZI YA SIKU YA MASHUJAA MBEYA YAENDELEA KUPAMBA MOTO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MAANDALIZI YA SIKU YA MASHUJAA MBEYA YAENDELEA KUPAMBA MOTO

Askari wa JWTZ wa kikosi cha 44 KJ wakiwa mazoezini kwenye mnara wa kumbukumbu ya mashujaa jijini Mbeya
Bendi ya jeshi la Magereza wakiongoza gwaride
Ukumbusho wa askari waliokufa vitani 1939   1945
Wanajeshi wakiendelea na mazoezi
Mnara huu wa majina ya Mashujaa waliokufa vitani upo katikati ya jiji la mbeya  sijui kama nao wataukumbuka kuufanyia usafi maana umezungukwa na nyasi Picha Na Mbeya Yetu Blogu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages