Mkutano wa Wadau Wa Mawasiliano Wafanyika Jijini Dar es Salaam - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Mkutano wa Wadau Wa Mawasiliano Wafanyika Jijini Dar es Salaam


Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Profesa John Nkoma, akitoa mada leo asubuhi kwenye mkutano wa wadau wa mawasiliano uliofanyika katika ukumbi wa Mlimami City, jijini Dar es Salaam.  Mkutano huo ulikuwa ukijadili juu ya rasimu ya sheria ya mawasiliano ya Kielectroniki na Posta.
Wadau wa mawasiliano wakiwa katika mkutano huo. Picha zote na Victor Makinda

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages