MAKAMU MKUU WA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) PROF IDRISA KIKULA AKITETA JAMBONA WAZIRI MKUU MH MIZENGO PINDA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MAKAMU MKUU WA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) PROF IDRISA KIKULA AKITETA JAMBONA WAZIRI MKUU MH MIZENGO PINDA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Profesa,Idris Kikula,kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum-Chadema,Magdalena Sakaya kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akitazama vitabu na machapisho mbalimbali katika maonyesho ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam, kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Bunda na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais , Siasa na Uhusiano wa Jamii, Stephen Wasira (kushoto), Mkamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Profesa Idris Kikula(wapili kushoto), Mbunge wa Viti Maalum, Martha Mlata na Waziri wa Ujenziri wa Ujenzi, John Magufuli, kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages