MFUKO WA PSPF WAPONGEZWA KWA KUTOA MAFAO BORA ZAIDI YA PENSHENI - MKULLO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MFUKO WA PSPF WAPONGEZWA KWA KUTOA MAFAO BORA ZAIDI YA PENSHENI - MKULLO

Waziri wa Fedha, Mhe. Mustafa Mkulo, akisaini kitabu cha wageni, alipolilitembelea banda la PSPF kwenye maonyesho ya kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam, ambapo Mfuko huo, umehamishia baasdhi ya huduma zake, kwenye banda lake la sabasaba.
Mwanachama wa PSPF akishuhudia mkokotoo wa mafao yake yote pindi atakapo staafu. Mkokotoo huo, umefuatia maofisa wa PSPF kumkokotolea mafao yake kwenye banda la PSPF kwenye maonyesho ya Kimataifa ya Dar es Salaam.
 
Kwa Habari Zaidi <<< BOFYA HAPA >>>

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages