MFALME WA ASHANTI OTUMFUO OSEI TUTU II AFANYA ZIARA ZANZIBAR NA KUKUTANA NA MAKAMU WA KWANZA WA RAISI MAALIM SEIF SHARIFF NA MAKAMU WA PILI WA RAISI BALOZI SEIF IDD - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MFALME WA ASHANTI OTUMFUO OSEI TUTU II AFANYA ZIARA ZANZIBAR NA KUKUTANA NA MAKAMU WA KWANZA WA RAISI MAALIM SEIF SHARIFF NA MAKAMU WA PILI WA RAISI BALOZI SEIF IDD


WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Mwinyihaji Makame akimsalimia Mfalme wa Ashanti Otumfuo Osei Tutu II, alipowasili Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume kwa ziara ya siku moja Zinzibar. 
 MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad,akizungumza na mgeni wake Mfalme wa Ashanti Otumfuo Osei Tutu II, alipofika Ofisini kwake kwa mazungumzo. 
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar  Maali Seif Sharif Hamad akipokea zawadi kutoka kwa Msaidi wa Mfalme wa Ashanti, alipofika Ofisi kwa Makamu kwa mazungumzo.  
 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwa mgeni wake Mfalme wa Ashanti Otumfuo Osei Tutu II, alipofika Ofisini kwake kwa mazungumzo Vuga. 
MAKAMU wa  Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Shariff Hamad na Mfalme wa Ashanti Otumfuo Osei Tutu II, wakiwa katika picha ya pamoja nje ya Ofisi ya Makamu Migombani.
MFALME wa Ashanti Otumfuo Osei Tutu II, akipata maelezo ya mkarafuu katika shamba la kizimbani  akiwa katika ziara yake Zanzibar, akiwa na Mwenyeki wake Dk. Mwinyihaji Makame.  
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Mwinyihaji Makame akitowa maelezo ya miti ya Viungo katika shamba la Kizimbani.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages