WABUNGE WAENDELEA KUPIGWA MSASA KUHUSU CHANGAMOTO ZINAZOIKABILI BOHARI KUU YA DAWA NCHINI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WABUNGE WAENDELEA KUPIGWA MSASA KUHUSU CHANGAMOTO ZINAZOIKABILI BOHARI KUU YA DAWA NCHINI


Katibu Mkuu wizara ya afya na ustawi wa jamii bi. Blandina Nyoni,akisoma hotuba kwenye semina ya wabunge kuhusu majukumu ya bohari kuu ya madawa nchini.
Mkurugenzi wa Ununuzi na Shughuli za kitaalam bi. Lucy Nderimo akitoa mada iliyohusu mfumo wa ugavi wa bohari kuu ya dawa ambapo manunuzi yote yanafanyika kwa kuzingatia sheria ya manunuzi ya mwaka 2004 na kanuni zake za mwaka 2005.
Mkurugenzi wa mahusianao ya wateja na uendeshaji wa kanda toka msd, bw. Cosmas Mwaifani akitoa mada iliyohusu miaka 17 ya MSD,ufanisi na changamoto (1994-2011).Alitaja changamoto zinazoikabili bohari hiyo ni pamoja na ile ya upatikanaji wa dawa na vifaa tiba vya umma kwenye maduka na vituo vya afya vya watu binafsi na uchache wa viwanda vya ndani katika sekta ya uzalishaji dawa na vifaa tiba ambao unakidhi mahitaji ya nchi kwa asilimia 20 tu.Picha na Mdau Cathy Sungura-MOH

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages