MAANDALIZI YA MAONYESHO YA NANE NANE MBEYA YASUASUA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MAANDALIZI YA MAONYESHO YA NANE NANE MBEYA YASUASUA

 Kiwanja cha maonyesho ya kilimo cha John Mwakangale Mbeya, kikiwa hakina dalili za kuwapo kwa maonyesho hayo yanayotarajia kuanza rasmi Agost 1, ambayo hufanyika kila mwaka tofauti na miaka mingine ambapo tarehe kama hizi huwa tayari na shambra shambra za maonyesho hayo.
 Hili ndilo Banda la Kilimo la Wilaya ya Chunya ambalo pia ni miongoni mwa mabanda yanayotarajia kushiriki katika maonyesho hayo. 
Baadhi ya Mabanda ambayo tayari yamekamilika tayari kusubiri kuanza kwa maonyesho hayo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages