ELIMU KWA WATANZANIA JUU YA MILA NA DESTURI BADO INAHITAJIKA SANA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

ELIMU KWA WATANZANIA JUU YA MILA NA DESTURI BADO INAHITAJIKA SANA

Watoto kabila la Kigogo Mkoani Dodoma wakiwa kwenye Jando huku wakiwa wamepakwa udongo maalum kwa wakati wa shughuli hiyo ambao kwa mila na desturi huzuia magonjwa mbali mbali, watoto hao huwekwa pamoja kwenye nyumba kwa takribani wiki 6 na baadae hutolewa kwa sherehe maalum ya kikabila
Tazama watoto hao ambao wametahiliwa kimila na kuhifadhiwa bila dawa yeyote lakini baada ya wiki 6 hutolewa wakiwa ni wazima kabisa kwa mujibu wa mila na desturi za kabila la Kigogo

Hivi Watanzania bado tuko kwenye karne gani?

Hapo wanacheza ngoma ya kabila lao wakiwa na furaha kabisa

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages