NIPO MIKONONI MWA POLISI MARA BAADA YA KUSHINDWA KUIBA JAMANI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

NIPO MIKONONI MWA POLISI MARA BAADA YA KUSHINDWA KUIBA JAMANI

Kibaka Akiwa Amekunjwa Tanganyika Jeki Na Vijana Wa Usalama Katika Viwanja Vya Sabasaba
Unaleta Utani Eehhh ..........Simama Wima.....
Katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam yanayoendelea wapo vijana na watu wazima ambao wao huingia humo si kwa lengo la kufurahisha macho bali kubeba kwa njia isiyo halali mali za watu. Kijana huyu ni mmoja wapo alidakwa akiiba simu katika moja ya mabanda yaliyopo.

Wizi wa simu, fedha na hata laptop umekuwa ukiripotiwa siku hadi siku katika maonesho hayo. Watu wanaweza kuja kundi kukuzubaisha na wengine kuiba.
Picha Kwa Hisani Ya Father Kidevu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages