YALIYOJIRI SONGEA LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

YALIYOJIRI SONGEA LEO


Vijana wanadikiwa kuwa ni vibaka katika mitaa ya Manispaa ya Songea wakishikana mashati baada ya mmoja wao kuwadhurumu wenzake mgao wa fedha, baada ya kufaulisha tukio lao la uporaji na kufanikiwa kuuza. Sasa kazi ikwa ni uwiano wa mgao ndiyo chanzo cha kuanza kwa sakata hili la kushikana mashati na kuchapana hadaharani, haikuweza kufahamiaka tukio hilo la uporaji walilitenda katika mtaa gani na kwa mhusika gani.
Kijana ambaye hakuweza kufahamika jina lake, akiandaa biashara ya ke ya utumbo kama alivyokutwa na mpiga picha Muhidin Amri, mjini Songea jana. Wafanyabiashara hawa wamekuwa na utaratibu wa kufanya biashara kama hii katika maeneo hata ambayo si maalum kwa ajili ya biashara.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Dkt. Chistine Ishengoma, akiwa ofisini kwake wakati akifanya kikako na watendaji wa ofisi yake na waandishi wa habari hivi karibuni
 
Picha Zote na Muhidin Amri,Songea 

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages