SHINDANO LA KUMSAKA MISS RUVUMA 2011 KUFANYIKA WIKI IJAYO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

SHINDANO LA KUMSAKA MISS RUVUMA 2011 KUFANYIKA WIKI IJAYO

Ofisa Mauzo na masoko wa kampuni ya Vodacom Mkoa wa Ruvuma, wadhamini wa mashindano ya Vodacom Miss Tanzania, Adam Mbega (katikati) akizungumza wakati wa mkutano wa kuwatambulisha washiriki wa shindano la kumtafuta Miss ruvuma 2011, kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana katika ukumbi wa Hoteli ya Chimbond, Mjini Songea (kulia) ni mratibu wa mashindano hayo Dkt. Herman Mayunga na (kushoto) ni mwalimu wa warembo hao, Juma Nyamwela.
Mratibu wa shindano la kumsaka Miss Ruvuma 2011, (Vodacom Miss Ruvuma 2011) Dkt. Herman Mayunga (katikati) akizungumza na waandishi wa habari wa mjini Songea katika ukumbi wa Chimbond Hotel, kuhusu maandalizi ya mashindano hilo.linalotarajia kufanyika wiki ijayo. Kulia ni mwalimu wa warembo hao kwa upande wa Catwalk, Cleopatra George na (kushoto) ni Ofisa mauzo na masoko wa kampuni ya Vodacom Mkoa wa Ruvuma, Adam Mbega.
Baadhi ya washiriki wa shindano hilo wakipozi kwa picha wakati wa mazoezi yao ya kujiandaa na mchuano huo unaotarajia kufanyika wiki ijayo.
 
Picha Zote na Muhidin Amri, Songea 

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages