WENGER KUSAJILI MABEKI WAREFU MSIMU UJAO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WENGER KUSAJILI MABEKI WAREFU MSIMU UJAO


Arsene Wenger
Kocha Wa Arsenal Arsenal Wenger

Msimu wa mwaka 2010/2011 ulimalizika kwa huzuni mkubwa kwa Arsenal. Hii ni klabu ambayo matarajio na matumaini ya meneja wake pamoja na wachezaji yalikuwa makubwa na kuyatiririsha kwa mashabiki kupitia ahadi za mambo mazuri kutarajiwa kutoka kwa kikosi madhubuti.
Lakini baada ya kukosea bila kudhania kuwa wangeshindwa na Birminham City kwenye fainali ya Kombe la Carling, klabu ambayo kabla ya hapo ilikuwa ikibabaisha matokeo katika Ligi kuu.
Tangu hapo Arsenal haikuwa na ile mori iliyokuwa nayo hapo kabla ikipoteza mchuano wa kombe la FA dhidi ya mahasimu wao wakuu Manchester United.
Vivyo hivyo maradhi yakazidi kuikumba klabu hiyo iliyodhibiti nafasi ya pili na kuonekana yenye fursa kuipiku Manchester United kabla ya kudorora na hatimaye kumaliza Ligi katika nafasi ya nne.

Kwa Habari Zaidi <<<< BOFYA HAPA >>>>

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages