MWANAHARAKATI SHY-ROSE BHANJI ALIPOMWAGA PESA KWA TIMU YA VIJANA WA CCM JIMBO LA KINONDONI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MWANAHARAKATI SHY-ROSE BHANJI ALIPOMWAGA PESA KWA TIMU YA VIJANA WA CCM JIMBO LA KINONDONI


 Kada wa CCM, Shay-Rose Bhanji akikabidhi sh milioni moja kwa nahodha wa timu ya vijana wa CCM jimbo la Kinondoni, Jackson Zola baada ya kuibuka washindi  kwenye fainali za mashindano ya soka kwa timu za  vijana wa CCM kutoka katika majimbo 8 ya mkoa wa Dar es Salaam.Kulia ni Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Kinondoni Emmanuel Tamila Makene.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages