Spika
wa Bunge la Tanzania Anne Makinda(kulia) akifafanua jambo kwa Waziri
Mkuu Mizengo Pinda(katikati) leo mjini Dodoma wakati wa semina kwa
wabunge juu ya mpango wa maendeleo wa miaka mitano 2011/12 hadi
2015/16 iliyoandaliwa na Ofisi ya Rais ,Tume ya Mipango. Kushoto ni
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais(Mahusiano na Uratibu)Stephen Wasira
Spika wa Bunge la Tanzania Anne Makinda(kulia) na Waziri Mkuu Mizengo Pinda(kushoto) wakijadiliana jana mjini Dodoma wakati wa semina kwa wabunge juu ya mpango wa maendeleo wa miaka mitano 2011/12 hadi 2015/16 iliyoandaliwa na Ofisi ya Rais , Tume ya Mipango.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda( kulia) akitoa ufafanuzi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Stephen Wasira(kushoto) leo mjini Dodoma wakati wa semina kwa wabunge juu ya mpango wa maendeleo wa miaka mitano 2011/12 hadi 2015/16 iliyoandaliwa na Ofisi ya Rais , Tume ya Mipango.
Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Waziri Kivuli wa Fedha na Uchumi Bungeni akichangia hoja katika semina hiyo Jana.
Spika wa Bunge la Tanzania Anne Makinda(kulia) na Waziri Mkuu Mizengo Pinda(kushoto) wakijadiliana jana mjini Dodoma wakati wa semina kwa wabunge juu ya mpango wa maendeleo wa miaka mitano 2011/12 hadi 2015/16 iliyoandaliwa na Ofisi ya Rais , Tume ya Mipango.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda( kulia) akitoa ufafanuzi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Stephen Wasira(kushoto) leo mjini Dodoma wakati wa semina kwa wabunge juu ya mpango wa maendeleo wa miaka mitano 2011/12 hadi 2015/16 iliyoandaliwa na Ofisi ya Rais , Tume ya Mipango.
Mbunge wa Kigoma Kaskazini na Waziri Kivuli wa Fedha na Uchumi Bungeni akichangia hoja katika semina hiyo Jana.
Wabunge
na Mawaziri wakiwa katika semina ya siku moja juu ya Mpango wa kwanza
wa Maendeleo wa miaka mitano 2011/2012-2015/2016 ambao ulizinduliwa
hivi karibuni na Rais Jakaya Kiwete mjini Dodoma,Semina hiyo imetolewa
ili kuwapiga Msasa Wabunge juu ya mpango huo ambao wanatarajia kuujadili
Bungeni kwa siku mbili Juni 13-14, 2011.Picha na Vicent Tiganya- Maelezo na Mdau
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)