Wananchi
wa kijiji cha Lupanga wilaya ya Ludewa mkoani Iringa wakisafiri katika
usafiri wa trekta kama inavyoonekana pichani. Wananchi hao amabao wengi
wao ni wakulima wameiomba serikali kuwajali katika bajeti
itakayotangazwa leo huko mjini Dododma.
Picha kwa hisani ya Francis Godwin Blog
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)