ROSE MSUYA AWA VODACOM MISS DAR INTER COLLEGE 2011 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

ROSE MSUYA AWA VODACOM MISS DAR INTER COLLEGE 2011

Miss Dar Inter College 2011,Rose Msuya akiwa katika pozz mara baara ya kunyakua taji hilo usiku huu katika ukumbi wa Sun Cirro,Sinza jijini Dar.
 Miss Dar Inter College,Rose Msuya akiwa katika picha ya pamoja na Mshindi wa Pili,Bressiny Ngowi (shoto) na Mshindi wa watatu,Glory Peter.
 Afisa Huduma na Bidhaa wa Vodacom Tanzania,Elihuruma Ngowi akikabidhi zawadi kwa Miss Vodacom Dar Inter College 2011,Rose Msuya kutoka Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) usiku huu katika ukumbi wa Sun Cirro,Sinza jijini Dar.
 Mkuu wa Itifaki wa Kamati ya Miss Tanzania,Albert Makoye akikabidhi zawadi kwa Mshindi wa Nne,Elizabeth Aloyce. 
 Jaji Mkuu wa Mashindano hayo,Aidan Rocco akitangaza washindi.
 Watazamaji nao walikuwa wako makini ili kumchagua yule wamtakao.
 Wakubwa,toka kulia ni Mkuu wa Itifaki wa Kamti ya Miss Tanzania,Albert Makoye,Mkurugenzi Mkuu wa Miss Tanzania,Hashim Lundenga pamoja na Hassan Hasanoo wa Friends of Simba wakibadilishana mawazo usiku huu ndani ya ukumbi wa Club Sun Cirro,Sinza jijini Dar.
 Wadau.
 Waratibu wakifatilia mashindano.
 
Source: Michuzi Blogu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages