KUTOKA MJENGONI LEO MJINI DODOMA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

KUTOKA MJENGONI LEO MJINI DODOMA

Mbunge wa Monduli Edward Lowassa (kulia) akibadlishana mawazo leo mjini  Dodoma na Mwenyekiti wa Chama cha APPT Maendeleo Peter Kuga Mziray  (kushoto) wakati wa mapunziko ya kikao cha pili cha mkutano wa nne wa  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaoendelea mjjini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Celina Kombani (kushoto) akibadlishana mawazo leo nje ya ukumbi wa bunge la Tanzania na Mbunge wa jimbo la Kigoma Kusini David Kafulila (kulia) wakati wa mapumziko ya kikao cha pili cha mkutano wa nne wa Bunge la Tanzania unaoendelea mjini Dodoma.
Waziri wa Nchi , Ofisi ya Rais (mahusiano na uratibu)  Stephen Wasira (kulia)  akibadlishana mawazo jana mjini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (utawala Bora) Mathias Chikawe(kushoto) na Naibu Waziri wa Nishati na Madini Adam Malima( wa pili kulia) na Mbunge wa jimbo la Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe(wa pili kushoto) wakati wa mapunziko ya kikao cha pili cha mkutano wa nne wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Naibu Waziri , Ofisi ya Wazir Mkuu ,Tawala za Mikoa na Seikali za Mitaa Aggrey Mwanri akijibu maswali mbalimbali ya wabunge jana Bungeni mjini Dodma wakati wa kikao cha pili cha mkutano wa nne wa Bunge la Tanzania unaoendelea mjini Dodoma.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia) akibadilishana mawazo jana mjini Dodoma na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd wakati wa kikao cha pili cha mkutano wa nne wa Bunge la Tanzania unaoendelea mjini Dodoma
Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia) akibadilishana mawazo leo mjini Dodoma na Naibu Waziri , Ofisi ya Wazir Mkuu ,Tawala za Mikoa na Seikali za Mitaa Aggrey Mwanri wakati wa kikao cha pili cha mkutano wa nne wa Bunge la Tanzania unaoendelea mjini Dodoma
Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia) akibadilishana mawazo leo mjini Dodoma na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Jenista Mhagama(kushoto) wakati wa kikao cha pili cha mkutano wa nne wa Bunge la Tanzania unaoendelea mjini Dodom.
Picha na Zote na  Tiganya Vincent-MAELEZO-Dodoma

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages