Mhe. Balozi Seif Ali Idd (MBM) – Makamu wa pili wa
Rais, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, akipeana mkono na Mama
Margareth Chacha – Mkurugenzi wa Benki ya Wanawake Tanzania wakati wa
harambee ya Elimu, Maji na Ajira, Tabora na Mjini Magharibi.
Kushoto ni Mhe. Balozi Seif Ali Idd
(MBM) – Makamu wa pili wa Rais, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe.
Eng. Athuman R. Mfutakamba – Naibu Waziri wa Uchukuzi akipeana mkono na
mdau/mchangiaji wakati wa harambee ya Elimu, Maji na Ajira, Tabora na
Mjini Magharibi, na kulia kwake ni Mhe. Prof. Makame M Mbarawa – Waziri
wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia akifuatiwa na Bw. Yusuph Mohamed –
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora, aliyesimama nyuma ya Mhe. Balozi Seif
Ali Idd ni Mhe. Dkt. Hussein A. Mwinyi – Waziri wa Ulinzi na Jeshi la
Kujenga Taifa.
Picha Na GPL
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)