Washiriki Wa Kinyanganyiro Cha Kuwania Urembo Wa Mkoa Wa Iringa Wakiwa Katika Mazoezi Ya Mwisho
Leo
ni leo ndani ya ukumbi wa Highland hawa ni baadhi ya washiriki
watakao panda jukwaa kuwania kitita cha shilingi 700,000 kwa mshindi
wa kwanza na shilingi 500,000 mshindi wa pili na 300,000 wa tatu pia
mtandao huu utamtangaza mshindi wake atakayenyakua shilingi 50,000
kutoka katika mtandao huu
Na Francis Godwin
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)