mabango mbali mbali yamepamba maandamano ya Chadema ambayo leo asubuhi yalianzia kutoka eneo la Kihesa hadi Mlandege katika manispaa ya Iringa ambako viongozi wa kitaifa wa Chadema wamewahutubia wananchi wa jimbo la Iringa mjini .
Gari la Polisi likipita katika mitaa walipokusanyika waandamanaji wa Chama cha Chedema, kwa ajili ya kulinda usalama.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)