Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua pikipiki ya miguu mitatu ambayo imetengezwa ili kumudu kazi ya kuzima moto hasa kwenye maeneo yenye barabara nyembamba katika maonyesho yaliyoandaliwa na kampuni ya Spray and Fumigation Services Limited,Bungeni Mjini Dodoma Aprili 7, 2011.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
-






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)