WATU WATANO WAPOTEZA MAISHA KWENYE MAPAMBANO TEGETA JIJINI DAR ES SALAAM - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WATU WATANO WAPOTEZA MAISHA KWENYE MAPAMBANO TEGETA JIJINI DAR ES SALAAM

 Watu wanokadiriwa zaidi ya watano wanasadikiwa kufariki baada ya mapigano kuzuka kati ya wakazi wa eneo la Nyakalekwa Tegeta na watu waliokodishwa kwenda kuvunja nyumba zilizojengwa katika eneo hilo lenye ukubwa wa hekta 200 linalodaiwa kumilikiwa na mkazi mmoja wa jijini Dar es salaam.
 ajeruhi hao yadaiwa hali zao ni mbaya sana unavyoonoa nguo imetapakaa damu na si rangi
Polisi wakichukua miili ya watu waliojeruhiwa vibaya 

Wananchi wakimtazama Baunsa, Amiri Abdallah(46), maarufu kwa jina la Chura Mchimba Makaburi ya Kinondoni, aliyejeruhiwa Dar es Salaam, akidaiwa kubomoa nyumba Wazo Hill Madale, akiwa na wenzake 26. Aliyemuinamia akimpa pole ni Mkewe 
Watu walifika kushudia yaliyotokea katika eneo hilo.Picha zote na Habari zimeletwa Kwenu na Mdau Amani Masue na Richard Mwaikenda

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages