TIMU YA TAIFA YA VIJANA UNDER 23 YA TANZANIA YATUPWA NJE YA MICHUANO YA ALL AFRICAN GAMES - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

TIMU YA TAIFA YA VIJANA UNDER 23 YA TANZANIA YATUPWA NJE YA MICHUANO YA ALL AFRICAN GAMES

Mchezaji wa timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania chini ya miaka 23, Thomas Ulimwengu (kushoto) akiambaa na mpira kumtoka beki wa wa timu ya Uganda (U 23) wakati wa mchezo wa marudiano wa kufuzu kucheza michuano ya All African Games inayotarajia kufanyika mwezi Septemba mwaka huu huko Msumbiji. Mchezo huo umechezwa leo jioni kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam,ambapo Uganda imeibuka na ushindi wa mabao 3-1.Na Ripota Wa Jiji

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages