TANZANIA KUWAKILISHWA NA MTANGAZAJI WA EATV KATIKA KINYANGANYIRO CHA BIG BROTHER AMPLIFY - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

TANZANIA KUWAKILISHWA NA MTANGAZAJI WA EATV KATIKA KINYANGANYIRO CHA BIG BROTHER AMPLIFY


Mtangazaji Maarufu wa Kipindi cha 5Connet cha EATV,Bhoke Egina ndiye mwakilishi wa Tanzania katika Big Brother Africa inayotarajiwa kuanza Jumapili ya tarehe 1 May 2011,Na mwaka huu litaitwa Big Brother - Amplified (Season 6),na 14 Housemates watakaa mjengoni kwa siku 91 na mshindi kuibuka na zawadi ya dola 200 000 za kimarekani.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages