Ni gari la kusafirisha mafuta aina ya Scania lenye namba za usajiri T263 BLL lililokamatwa na Jeshi la polisi mkoani Mwanza hii leo mara baada ya ukaguzi kufanyika na hatimaye kushikiliwa eneo la beria ya wilayani Magu mkoani Mwanza.
BANGI.
Awali katika ukaguzi huo kwenye beria ya Magu jeshi hilo liligundua shehena ya madawa ya kulevya hayo aina ya bangi kwa mzigo uliopakiwa juu ya tanki la mafuta ambao ulikamatwa na kupelekwa moja kwa moja kituo kikuu cha Polisi Mwanza.
"MURAaa RINGINE HIRI HAPA.!"
Lakini kituoni hapo wakati ushushaji ukiendelea, katika shughuli za upekuzi zaidi moja kati ya makachero wa jeshi la polisi aligundua shehena nyingine kubwa ya bangi iliyokuwa imehifadhiwa sehemu ya nyuma, chini ya tanki hilo la mafuta yenye upenyo mithili ya kisanduku cha kuhifadhia mizigo.
Awali katika ukaguzi huo kwenye beria ya Magu jeshi hilo liligundua shehena ya madawa ya kulevya hayo aina ya bangi kwa mzigo uliopakiwa juu ya tanki la mafuta ambao ulikamatwa na kupelekwa moja kwa moja kituo kikuu cha Polisi Mwanza.
Lakini kituoni hapo wakati ushushaji ukiendelea, katika shughuli za upekuzi zaidi moja kati ya makachero wa jeshi la polisi aligundua shehena nyingine kubwa ya bangi iliyokuwa imehifadhiwa sehemu ya nyuma, chini ya tanki hilo la mafuta yenye upenyo mithili ya kisanduku cha kuhifadhia mizigo.
Kwa habari Zaidi <<< BOFYA HAPA >>>





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)