Bondia Japhet Kaseba (kushoto) akichuana na Mada maugo wakati wa pambano lao lisilo la ubingwa la raundi nane lililofanyika kwenye Ukumbi wa PTA Sabasaba Temeke Dar es Salaam jana. Pambano hilo lilimalizika katika raundi ya saba baada ya mabondia hao kuchezeana faulo bila mwamuzi kusimamisha mchezo na Kaseba kuamua kuvua glovz kugoma kuendelea na pambano na Maugo kutangazwa mshindi.
Bondia Japhet Kaseba (kushoto) akichuana na Mada maugo wakati wa pambano lao lisilo la ubingwa la raundi nane lililofanyika kwenye Ukumbi wa PTA Sabasaba Temeke Dar es Salaam jana. Pambano hilo lilimalizika katika raundi ya saba baada ya mabondia hao kuchezeana faulo bila mwamuzi kusimamisha mchezo na Kaseba kuamua kuvua glovz kugoma kuendelea na pambano na Maugo kutangazwa mshindi.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)