Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Wanamichezo hao
Rais wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na wanamichezo wa timu za Ikulu ya Zanzibar na Dar es Salaam, wakati timu hizo zilipofika Ikulu Mjini Zanzibar kuonana na Rais, ambapo zitakuwa na mapambano mbali mbali katika kukuza ushirikiano wa pamoja.Picha na Ramadhani Othaman,ikulu-Zanzibar
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)