Ofisa Mtendaji Mkuu wa benki ya NMB,Mark Wiessing akizungumza wakati wa uzinduzi huo jana Jijini Dar es Salaam
Meneja wa Masoko na Mawasiliano wa benki hiyo, Imani Kajula akizungumza wakati wa uzinduzi huo jijini Dar es Salaam Jana
Mkurugenzi wa Ufundi wa kampuni ya Financial Sector Deepening Trust (FSDT), Sosthenes Kewe, akionyesha huduma ya NMB PesaFasta inavyotumiwa kwenye mashine ya kuchua fedha (ATM) wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo,jana. Kulia ni viongozi wa Benki ya NMB.Picha na Mdau Bashir Nkromo
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)