Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Sazi Salula akizungumza jambo na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng Ngosi Mwihava Mara Baada ya Rais Jakaya Kikwete Kuapisha Makatibu wakuu Ikulu
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Eng. Ngosi Mwihava akiogoza Kikao cha Pamoja cha Makatibu wa Kuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kujadili changamoto za Muungano
Kwa taarifa zaidi <<< BOFYA HAPA >>>
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)