Martine Shigella akizungua katika mkutano wa Shirikisho la matawi ya Umoja wa Vijana wa CCM, wa Elimu ya Juu, katika ukumbi wa Vijana, Kinondoni mjini Dar es Salaam. Katika mkutano huo Shirikisho hilo lilitosa tamko kuhusu mgogoro wa mikopo ya elimu ya juu. Kushoto ni Mwenyekiti wa Shirikisho hilo, Chiristopher Ngulaigani na katikati ni Kaimu Mwenyekiti wa UVCCM, Taifa, Beno Malissa.
WAKEREKETWA wa UVCCM wa zamani, Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekile Maige (kushoto) na Mbunge wa Suvye, Richard Ndasa, wakimshauri jambo, Katibu Mkuu wa UVCCM, Shigella katika mkutano huo.
Viongozi na makada wa UVCCM kutoka vyuo vya elimu ya juu wakiwa kwenye mkutano huo.Picha zo6te na Mdau Bashir Nkromo





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)