Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania(TANESCO),William Mhando(Kulia) akizungumza na waandishi wa habari,leo katika Ofisi Ndogo za Bunge,Dar es Salaam,ambapo akanusha habari kuwa mitambo ya ya kufua umeme ya Dowans imewashwa ili kusaidia kupunguza mgawo wa umeme.Picha na Richard Mwaikenda
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)