Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo( SUA),Emmanuel Masonga ( aliyesimama )akitoa taarifa za kero na matatizo mbalimbali yanayowakabili wanafunzi wa Chuo Kikuu hicho , mbele ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa ( hayupo pichani) juzi kwenye ukumbi wa Jengo la Utawala la SUA , alipotembelea kwa ajili ya kusikiliza hoja mbalimbali za wanafunzi.
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)