RAH P AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

RAH P AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME

 
Msanii wa siku nyingi wa Bongo flava,  Fredinah Peyton ‘Rah P’  (pichani) ambaye  anaishi nchini Marekani, anadaiwa kujifungua mtoto wa kiume, Ijumaa limeinyaka.

Kwa mujibu wa Mtandao wa Total Knockout unaomilikiwa na aliyekuwa Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha Channel 5, Teddy Kalonga ‘TK’, Rah P alijifungua mtoto huyo mwishoni mwa mwaka jana, hivyo kumfanya kuwa na watoto wawili.

Alipoulizwa kuhusu muziki, Rah P alisema kwa kifupi: “Sasa hivi mimi ni mama, ukiniona ugumu wote umeisha, ila tegemeeni ujio mwingine kutoka kwangu.
 Kwa Msaada Wa Global Publisher Tanzania

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages