Vijana wakishusha mzigo wa magazeti yaliyofika Mahakamani hapo katika gari la Tani tatu na nusu kwa ajili ya ushahidi wa kesi hiyo. Miongoni mwa Magazeti hayo ya vyombo vya habari mbalimbali vya nchini mengi ni yale yaliyokuwa yakichapisha habari za kawaida zisizomchafua Manji tangu mwaka 2006 hadi 2011 machache ni yale yaliyokuwa yakichapisha habari zinazomchafua Manji kwa kipindi kama hicho cha tangu 2006 hadi 2011.
Kwa Hisani Ya SUFIANI MAFOTO





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)