Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Mohamed Gharib Bilal,akiagana na Waumini wa Dini ya Kiislam pamoja na Viongozi wa Jumuiya ya Istiqaama Tanzania baada ya kuhutubia Waumini hao kwenye hafla ya kukumbuka kuzaliwa Mtume Muhammad(SAW)iliyofanyika jana katika ukumbi wa Karimjee Dar es salaam .
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)