HALI ILIVYO NDANI YA UWANJA WA UHURU MCHANA HUU. - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

HALI ILIVYO NDANI YA UWANJA WA UHURU MCHANA HUU.

24
Mtoto, ambaye hakuweza kufahamika jina lake, aliyeokotwa maeneo ya Sitakishari Ukonga, akiwa amebebwa na mmoja wa Maafisa wa Red Cross, baada ya kufikishwa kwenye Uwanja wa Uhuru na askari, ili wazazi wa mtoto huyo wafike kumtambua.
red+cross
 Baadhi ya Wahudumu wa Red Cross Wakijiandaa Kugawa Maji Kwa Waathirika Wa Milipuko Ya mabomu waliokuwa katika Uwanja Wa Uhuru Leo Mchana
scout
Kamanda Wa Scout Akiwapanga Vijana Wake katika Uwanja Wa Uhuru  Jijini Dar Mchana Huu.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages