Meneja wa bia ya Kilimanjaro, Kavishe akiwakaribisha washiriki wa Bongo Star Search (BSS) walioingia kumi/bora na wale wa tano bora ambao watachuana Ijumaa wiki hii kupata mshindi,walipotembelea kiwwanda cha kampuni ya bia Tanzania (TBL),leo.Wanne kulia ni Mpishi Mkuu wa wa Kilimanjaro, Kelvin Nkya.
Washiriki hao wakiwa na Kavishe na Kelvin kwenye ukumbi wa TBl kabla ya kuanza kutembelea maeneo mbalimbali ya kiwanda hicho leo
Mpishi Mkuu akiwapa maelekezo kuhusu palivyo ndani ya kiwa nda hicho.Picha zote na Mdau Bashir Nkromo





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)