Mkurugenzi wa Kituo cha Matangazo cha Radio One Deogratius Rweyunga(Kushoto) akiongea na waan dishi wa habari muda mfupi baada ya kituo hicho kuanza huduma ya rasmi ya upatikanaji wa habari kwa Papo kwa papo(Breaking NEWS)Kupitia simu za mkononi. na wananchi wanaoweza kutumia huduma hii ni wale wa vodacom. Tigo na Airtel na namna ya kujiunga na huduma hii unatakiwa kutuma ujumbe mpya kutoka katika simu Kisha andika neno Radio One halafu tuma kwenda namba 15310.Habari hii na Veronica Kazitmoto-MAELEZO
-






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)