NYOTA WA FILAMU ZA BONGO WAFUNIKA RWANDA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

NYOTA WA FILAMU ZA BONGO WAFUNIKA RWANDA

Auntie Ezekiel na mwenzie wakivinjari mitaa ya KigaliRay Kigosi na Steve Kanumba wakitembezwa mitaa ya KigaliKila walikopita walizingirwa na wapenzi wa filamu za bongoKanumba haamini macho yake kwamba wakati nyumbani Tanzania kuna wanaowabeza, huko ugenini wanapokelewa kwa furaha na heshima kubwa. Tujadili hili wadau. Ni lini tutaanza kuthamini vyetu na kukoma kukatishana tamaa bila sababu za msingi?
Picha kwa hisani ya gazeti la NEW TIMES.
BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages