JESHI LA POLISI TANZANIA LAPIGWA TAFU KATIKA KUBORESHA MIUNDOMBINU NA ICF - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

JESHI LA POLISI TANZANIA LAPIGWA TAFU KATIKA KUBORESHA MIUNDOMBINU NA ICF

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Said Mwema, akisaini mkataba na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Kusaidia Uwekezaji Afrika ICF,Omar Issa,kwa ajili ya kuboresha Miundombinu na kurahisisha usafirishaji,ambapo uboresha ji wa Miundombinu na kurahishisha usafirishaji wa mizigo kutoka na kuingia ndani ya nchi.Taasisi hiyo itaanza na Barabara ya Rwanda

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages