Basi linalojulikana kwa jina la sabene linalofanya safari zake toka tabora kwenda Dar limepata ajali Mkoani Singida maeneo ya Manyoni Hadi sahivi hakuna taarifa kamili juu ya watu waliojeruhiwa au kupoteza maisha.kwa taarifa zaidi tutaendelea kupashana habari hapahapa
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)