KHADIJA KOPA ALIVYOFUNIKA MITIKISIKO YA PWANI DAR LIVE - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

KHADIJA KOPA ALIVYOFUNIKA MITIKISIKO YA PWANI DAR LIVE

Mzee Yusuf akimchombeza mkewe, Leila Rashid.
Mashabiki waliopanda stejini kumtunza Mzee Yusuf wakijiachia kwa raha zao.
Malkia wa mipasho nchini, Khadija Kopa, kutoka T.O.T akiwapagawisha mashabiki waliohudhuria Mitikisiko ya Pwani Dar Live Jumamosi.
Khadija Kopa na vijana wake wakiwa wameiteka Dar Live kwa burudani.
Kiongozi wa Kundi la Jahazi Modern Taarab, Mzee Yusuf 'Mfalme', akiimba na mashabiki wake.
Mke wa Mfalme, Leila Rashid, akilipamba Tamasha la Mitikisiko ya Pwani ndani ya Dar Live.
Mwanahawa Ally wa East African Melody akiwarusha mashabiki wa Mitikisiko ya Pwani.
Kiongozi wa kundi la Mashauzi Classic, Isha Ramadhan 'Isha Mashauzi', akiwapa raha mashabiki.
Maua Tego wa Coastal Modern Taarab akiwa stejini.
Sehemu ya mashabiki waliofurika Dar Live kushuhudia tamasha hilo.
Khadija Kopa na wasanii wenzake wa TOT wakilitawala jukwaa.
Wasanii wa TOT wakizidi kunogesha tamasha hilo.
Mashabiki wa Arsenal nao walikuwepo.
Wapenzi wa taarab waliokuwa VIP wakifuatilia tamasha hilo.
Isha Mashauzi akionyesha mbwembwe zake stejini.
Nyomi iliyohudhuria Tamasha la Mitikisiko ya Pwani.PICHA ZOTE NA RICHARD BUKOS / GPL
--
MALKIA wa mipasho nchini, Khadija Kopa, juzi (Jumamosi) alifunika vilivyo katika Tamasha la Mitikisiko ya Pwani lililofanyika ndani ya ukumbi wa kisasa wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar.

Tamasha hilo lilipambwa na makundi mbalimbali ya taarab yakiwemo Jahazi, Coastal, TOT na mengineyo. Watangazaji mahiri kutoka Times Radio wakiongozwa na Gardner G Habash na Khadija Shaibu 'Dida' walinogesha tamasha hilo na kulifanya liwe la kipekee.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages