Mmoja
wa viongoi wa maandamano hayo jina lake halijaweza kupatikana kwa
haraka akiwahimiza waislam wenzake kuto kukata tamaa moaka kieleweke.
Hapa wakiwa mbele ya jengo la wizara ya Mambo ya ndani kama
linavyoonekana kwa mbele
Wakina
mama wa kiislam nao hawakuwa nyuma katika maandamano hayo wakishinikiza
waislam wenzao waliokamatwa kwa sababu ya kugoma kuhesabiwa watolewe,
mpaka hivi sasa tunaingia mitamboni bado waandamanaji hao wapo katika
jengo hilo la Wizara ya mambo ya ndani.
Wanahabari nao hawakua nyuma katika kupata picha za tukio hilo
Kwa
juu kwenye ghorofa ni wafanyakazi wa Benk ya Exim iliyo karibu na Wizara
hiyo wakiwa hawajui la kufanya huku wengi wao wakihofu kama mabomu ya
machozi yakianza kupigwa watajisalimisha wapi, huku waislam kama
unavyowaona kwa chini wakiwa wanaimba nyimbo mbali mbali za
kuhamasishana kama iivyozoeleka kwa usemi wa kiimani yao
"TAKHBIIRRR!!!!"
Hapa wakiwa wanaelekea kwenye wizara ya mambo ya Ndani. Tukio
hilo limetokea muda mfupi uliopita. Mpaka sasa hakuna taarifa yoyote
ambayo imetolewa na jeshi la polisi kutokana na maandamano hayo.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
TASWIRA YA MAANDAMANO YA WAISLAM KUISHINIKIZA SERIKALI KUWAACHIA WENZAO WALIOKAMATWA KUTOKANA NA KUGOMA KUHESABIWA.
TASWIRA YA MAANDAMANO YA WAISLAM KUISHINIKIZA SERIKALI KUWAACHIA WENZAO WALIOKAMATWA KUTOKANA NA KUGOMA KUHESABIWA.
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)