TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI (CME) YAWANOA KWA SEMINA WANAHABARI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

TUME YA USULUHISHI NA UAMUZI (CME) YAWANOA KWA SEMINA WANAHABARI

 Mkurugenzi Mkuu wa  Tume ya Usuluhishi na Maamuzi (CMA) (katikati mwenye suti) akizungumza na waandishi wa habari jiji Dar es Salaam leo wakati wa semina ya siku moja kwa wanahabari kuhusu taratibu za kutatua migogoro ya kila siku na changamoto zake sehemu za kazi Tanzania, Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CME) ni  Taasisi ya Serikali iliyoundwa chini ya sheria ya Taasisi za kazi no.7 ya mwaka 2004.
 Mdau wa Habari kutoka (UPL) Noor Shija (kushoto) akichangia katika semina hiyo ya siku 1 kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam iliyofanyika leo. 
Baadhi ya wanahabari wakipitia makabrasha katika semina ya siku moja jijini Dar es Salam kuhusu taratibu za kutatua mogogoro ya kila siku na changamoto zake  sehemu za kazi. Semina hiyo imeandaliwa na Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA)  Wizara ya Kazi na Ajira , ambapo CMA imeeleza  tangu kuzinduliwa kwa TUME mwaka 2007 hadi -30 juni,2012 tume imepokea migogoro 43,003 na kati ya hiyo migogoro 31,125 sawa na asilimia 72.3 imeshapatiwa ufumbuzi. Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages