WAZIRI WA HABARI, DKT. FENELLA AMTEUA DKT. SEWANGI KUWA KATIBU MTENDAJI BAKITA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WAZIRI WA HABARI, DKT. FENELLA AMTEUA DKT. SEWANGI KUWA KATIBU MTENDAJI BAKITA


Dkt. Fenella Mukangara, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo

NA MAGRETH KINABO- MAELEZO

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara, amemteua Dkt. Selemani Sewangi (55) kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili la Taifa  (BAKITA).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Waziri wa wizara  hiyo, uteuzi huo umeaanza rasmi  Julai Mosi mwaka huu.

Taarifa hiyo ilifafanua kuwa Dkt. Sewangi  ni Mhadhiri Mwandamizi wa Taasisi za Kiswahili (TATAKI) kutoka  Chuo Kikuu cha Dares Salaam.

Dkt. Sewangi anachukua nafasi hiyo iliyoachwa na Dkt. Anna Kishe, aliyestaafu kwa mujibu wa sheria.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages