Pacha great aibuka kinara wa shindano la kumsaka mkali wa Serengeti Fiesta Mc Shujaa 2012 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Pacha great aibuka kinara wa shindano la kumsaka mkali wa Serengeti Fiesta Mc Shujaa 2012

 Mratibu na jaji wa shindano la kumsaka mkali wa Serengeti Fiesta Mc Shujaa 2012,Reuben Ndege a.k.a Ncha Kali kutoka Clouds FM,akimpa maelekezo mafupi Pacha Great mara baada ya kuibuka kinara wa shindano la kumsaka mkali wa Serengeti Fiesta Mc Shujaa,kwa kuwashinda mahasimu wenzake wapatao 32 waliofika kushirika mchakato wa shindano hilo.shindano la kumsaka mkali wa Serengeti Fiesta Mc Shujaa limeandaliwa na Prime Time Promotions/Clouds FM kwa udhamini mkubwa wa kampuni ya bia ya Serengeti kupitia kinywaji chake murua kabisa cha Serengeti Premium Lager.
 Wasanii chipukizi walioshiriki shindano la kumsaka mkali wa Serengeti Fiesta Mc Shujaa,kutoka kulia ni Pacha Great akimchana live kwa kughani msanii mwenzie aitwaye Chalz Gibson wakati wa shindano hilo,ambpo Pacha aliibuka mshindi na kuwa mshindi wa shindano la kumsaka mkali wa Serengeti Fiesta Mc Shujaa 2012 ndani ya jiji la Arusha.
Mmoja wa majaji wa shindano la kumsaka mkali wa Serengeti Fiesta Mc Shujaa,Reuben Ndege a.k.a Ncha Kali akifafanua jambo kwa washabiki na watazamaji mbalimbali waliofika kwenye shindano hilo ndani ya ukumbi wa Mawingu Club,mjini Arusha mapema jana jioni.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages