JAJI JOSEPH WARIOBA AKIFUNGA KONGAMANO LA TAHLISO KUHUSU KATIBA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

JAJI JOSEPH WARIOBA AKIFUNGA KONGAMANO LA TAHLISO KUHUSU KATIBA

  WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe akichangia hoja  wakati wa kongamano la kujadili katiba lililofanyika katika ukumbi wa karimjee Jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na Umoja wa Wanafunzi wa Elimu ya juu nchini (Tahliso). Katikati ni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph S. Warioba na kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Tahliso, Paul Makonda.
 MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph .S. Warioba (aliyesimama)  akizungumza wakati kongamano la kujadili katiba lililofanyika katika ukumbi wa karimjee Jijini Dar es Salaam na kuandaliwa na Umoja wa Wanafunzi wa Elimu ya juu nchini (Tahliso). Kulia kwake ni Waziri wa Uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe na kushoto kwa Jaji Warioba .ni Mwenyekiti wa Tahliso, Paul Makonda.PICHA KWA HISANI YA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages