HISPANIA YAIBUKA KIDEDEA NA KUWA MABINGWA EURO 2012 WACHAPA ITALY 4-0 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

HISPANIA YAIBUKA KIDEDEA NA KUWA MABINGWA EURO 2012 WACHAPA ITALY 4-0

 Wachezaji wa timu Spain, wakishangilia ushindi wao wa mabao 4-0 dhidi ya Italy baada ya kumalizika kwa mchezo huo wa fainali uliochezwa jana usiku katika uwanja wa Olympic, huku Italy wakionyesha kuzidiwa kimchezo hadi mwisho.
 Fernando Torres, ambaye ni mmoja kati ya wafungaji kati ya mabao 4 (kulia) akibusu Kombe baada ya kukabidhiwa kombe hilo.
 Mario Balotelli, (kulia) akimtoka beki wa Spain wakati wa mchezo huo.
Balotelli, akiwa hoi bila kuamini kilichowatokea baada ya kumalizika kwa mchezo huo jana usiku.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages